Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 18:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wewe wasema, lakini ni maneno yasiyo na maana, kwamba, Lipo shauri na zipo nguvu kwa vita hivi. Basi, unamtumaini nani hata ukaniasi mimi?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, unadhani kuwa maneno matupu ndiyo maarifa na nguvu katika vita? Ni nani unayemtegemea hata ukaniasi?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, unadhani kuwa maneno matupu ndiyo maarifa na nguvu katika vita? Ni nani unayemtegemea hata ukaniasi?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, unadhani kuwa maneno matupu ndiyo maarifa na nguvu katika vita? Ni nani unayemtegemea hata ukaniasi?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Unasema mnayo mikakati na nguvu za kijeshi, lakini unasema maneno matupu tu. Je, wewe unamtegemea nani, hata ukaniasi mimi?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Unasema mnayo mikakati na nguvu za kijeshi, lakini unasema maneno matupu tu. Je, wewe unamtegemea nani, hata ukaniasi mimi?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wewe wasema, lakini ni maneno yasiyo na maana, kwamba, Lipo shauri na zipo nguvu kwa vita hivi. Basi, unamtumaini nani hata ukaniasi mimi?

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 18:20
5 Marejeleo ya Msalaba  

Naye BWANA akawa pamoja naye, kila alikokwenda alifanikiwa; tena alimwasi mfalme wa Ashuru, wala hakumtumikia.


Wapeni watu hao kazi nzito zaidi, waitaabikie; wala wasiangalie maneno ya uongo.


Kila kusudi huthibitika kwa kushauriana; Na kwa shauri la akili fanya vita.


Nasema, mashauri yako, na nguvu zako kwa vita, ni maneno yasiyo na maana; basi, unamtumaini nani hata ukaniasi mimi?