Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 17:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na hilo agano nililofanya nanyi, msilisahau; wala msiche miungu mingine;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wala msisahau agano nililofanya nanyi; msiiabudu miungu mingine, bali

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wala msisahau agano nililofanya nanyi; msiiabudu miungu mingine, bali

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wala msisahau agano nililofanya nanyi; msiiabudu miungu mingine, bali

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Msisahau agano nililofanya nanyi, wala msiabudu miungu mingine.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Msisahau agano nililofanya nanyi, wala msiabudu miungu mingine.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na hilo agano nililofanya nanyi, msilisahau; wala msiche miungu mingine;

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 17:38
5 Marejeleo ya Msalaba  

lakini BWANA, Mungu wenu, ndiye mtakayemcha; naye atawaokoa mikononi mwa adui zenu wote.


Jihadharini nafsi zenu, msije mkalisahau agano la BWANA, Mungu wenu, alilolifanya nanyi, mkajifanyia sanamu ya kuchonga, mfano wa umbo la kitu chochote ulichokatazwa na BWANA, Mungu wenu,


ndipo ujitunze, usije ukamsahau BWANA aliyekutoa nchi ya Misri, nyumba ya utumwa.


kisha niliwaambia, Mimi ndimi BWANA, Mungu wenu; msiiche miungu ya Waamori, ambayo mnakaa katika nchi yao; lakini hamkuitii sauti yangu.