Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 17:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

wakatumikia sanamu, ambazo BWANA aliwakataza, akasema, Msitende jambo hili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na walitumikia sanamu ambazo Mwenyezi-Mungu alikuwa amewakataza, akisema, “Msifanye hivyo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na walitumikia sanamu ambazo Mwenyezi-Mungu alikuwa amewakataza, akisema, “Msifanye hivyo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na walitumikia sanamu ambazo Mwenyezi-Mungu alikuwa amewakataza, akisema, “Msifanye hivyo.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakatumikia sanamu, ingawa Mwenyezi Mungu alikuwa amesema, “Msifanye mambo haya.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakaabudu sanamu, ingawa bwana alikuwa amesema, “Msifanye mambo haya.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wakatumikia sanamu, ambazo BWANA aliwakataza, akasema, Msitende jambo hili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 17:12
13 Marejeleo ya Msalaba  

Akachukiza mno, kwa kuzifuata sanamu sawasawa na yote waliyoyafanya Waamori, BWANA aliowafukuza mbele ya wana wa Israeli.)


wakafukiza uvumba huko katika kila mahali pa juu, kama mataifa walivyofanya, ambao BWANA aliwafukuza mbele yao; wakaunda mambo mabaya, ili wamkasirishe BWANA;


Walakini hawakusikia, bali wakafanya sawasawa na kawaida zao za kwanza.


Mimi ni BWANA, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.


Maana hutamwabudu mungu mwingine, kwa kuwa BWANA, ambaye jina lake ni mwenye wivu, ni Mungu mwenye wivu.


Kwa maana nilipokuwa nimekwisha kuwaingiza katika nchi ile, ambayo niliuinua mkono wangu kuwapa, wakati huo walipoona kila mlima mrefu, na kila mti wenye majani mengi, walitoa matoleo yao huko, na huko walitoa chukizo la sadaka zao, na huko walifukiza manukato ya kupendeza, na huko walimimina sadaka zao za kunywewa.


Msifanye sanamu yoyote, wala msijisimamishie sanamu ya kuchonga, wala mnara, wala msiweke jiwe lolote lililochorwa katika nchi yenu ili kulisujudia; kwa kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.


Wala msimfanyie hivyo BWANA, Mungu wenu.


Msiingie kati ya mataifa haya, yaani, haya yaliyobaki kati yenu; wala msitaje majina ya miungu yao, wala kuwaapisha watu kwa majina hayo, wala kuitumikia, wala kujiinamisha mbele yao;