Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 13:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na Hazaeli mfalme wa Shamu akawaonea Israeli siku zote za Yehoahazi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mfalme Hazaeli wa Aramu aliwanyanyasa sana watu wa Israeli wakati wote wa enzi ya Yehoahazi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mfalme Hazaeli wa Aramu aliwanyanyasa sana watu wa Israeli wakati wote wa enzi ya Yehoahazi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mfalme Hazaeli wa Aramu aliwanyanyasa sana watu wa Israeli wakati wote wa enzi ya Yehoahazi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hazaeli mfalme wa Aramu aliwatesa Israeli wakati wote wa utawala wa Yehoahazi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hazaeli mfalme wa Aramu aliwatesa Israeli wakati wote wa utawala wa Yehoahazi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na Hazaeli mfalme wa Shamu akawaonea Israeli siku zote za Yehoahazi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 13:22
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na itakuwa atakayeokoka na upanga wa Hazaeli, Yehu atamwua; na atakayeokoka na upanga wa Yehu, Elisha atamwua.


Siku zile BWANA akaanza kupunguza Israeli. Hazaeli akawapiga kote mipakani mwa Israeli;


Hazaeli akasema, Bwana wangu analilia nini? Akajibu, Kwa sababu nayajua mabaya utakayowatenda wana wa Israeli; utazichoma moto ngome zao, utawaua vijana wao kwa upanga, utawasetaseta watoto wao wachanga na wanawake wao wenye mimba utawapasua.


Hazaeli akasema, Lakini mimi mtumwa wako ni nani, mimi niliye mbwa tu, hata nifanye jambo hili kubwa? Elisha akajibu, BWANA amenionesha ya kwamba wewe utakuwa mfalme juu ya Shamu.