Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 11:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yoashi alianza kutawala Yuda akiwa na umri wa miaka saba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yoashi alianza kutawala Yuda akiwa na umri wa miaka saba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yoashi alianza kutawala Yuda akiwa na umri wa miaka saba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 11:21
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ila Yehosheba, binti wa mfalme Yehoramu, dada yake Ahazia, akamtwaa Yoashi mwana wa Ahazia, akamwiba miongoni mwa hao wana wa mfalme waliouawa, yeye na mlezi wake, na kuwatia katika chumba cha kulala; wakamficha usoni pa Athalia, basi kwa hiyo hakuuawa.


Hata mwaka wa saba Yehoyada akatuma, na kuwaleta wakuu wa mamia, wa Wakari, na wa walinzi, akawaleta kwake ndani ya nyumba ya BWANA; akapatana nao, akawaapisha nyumbani mwa BWANA, akawaonesha huyo mwana wa mfalme.


Katika mwaka wa saba wa Yehu, Yoashi alianza kutawala; akatawala miaka arubaini huko Yerusalemu; na jina la mama yake aliitwa Sibia wa Beer-sheba.


Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala; akatawala miaka thelathini na mmoja katika Yerusalemu; na jina la mama yake aliitwa Yedida, binti Adaya wa Bozkathi.