Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 10:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yehu akasema, Takaseni kusanyiko la dini kwa Baali. Wakalitangaza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yehu akaamuru: “Alika mkutano mkubwa wa ibada ya Baali!” Tangazo likatolewa,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yehu akaamuru: “Alika mkutano mkubwa wa ibada ya Baali!” Tangazo likatolewa,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yehu akaamuru: “Alika mkutano mkubwa wa ibada ya Baali!” Tangazo likatolewa,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yehu akasema, “Itisheni kusanyiko kwa heshima ya Baali.” Basi wakatangaza jambo hilo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yehu akasema, “Itisheni kusanyiko kwa heshima ya Baali.” Basi wakatangaza jambo hilo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yehu akasema, Takaseni kusanyiko la dini kwa Baali. Wakalitangaza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 10:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wakapiga mbiu ya watu kufunga, wakamweka Nabothi juu mbele ya watu.


Akaipokea mikononi mwao akaitengeneza kwa patasi, akaifanya iwe sanamu ya ndama kwa kuiyeyusha; nao wakasema, Hiyo ndiyo miungu yako, Ee Israeli, iliyokutoa katika nchi ya Misri.


Naye Haruni alipoona jambo hili, akajenga madhabahu mbele yake; Haruni akatangaza akasema, Kesho itakuwa sikukuu kwa BWANA.


Takaseni saumu, iteni kusanyiko la dini, Wazee na wakusanye wenyeji wote wa nchi; Waende nyumbani kwa BWANA, Mungu wenu, Na kumlilia BWANA,


Pigeni tarumbeta katika Sayuni, Takaseni saumu, kusanyeni kusanyiko kuu;