Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Timotheo 4:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Erasto alibaki Korintho. Trofimo nilimwacha huku Mileto, mgonjwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Erasto alibaki Korintho, naye Trofimo nilimwacha Mileto kwa sababu alikuwa mgonjwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Erasto alibaki Korintho, naye Trofimo nilimwacha Mileto kwa sababu alikuwa mgonjwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Erasto alibaki Korintho, naye Trofimo nilimwacha Mileto kwa sababu alikuwa mgonjwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Erasto alibaki Korintho, nami nikamwacha Trofimo huko Mileto akiwa mgonjwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Erasto alibaki Korintho. Nami nikamwacha Trofimo huko Mileto akiwa mgonjwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Erasto alibaki Korintho. Trofimo nilimwacha huko Mileto, mgonjwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Timotheo 4:20
9 Marejeleo ya Msalaba  

Baada ya mambo hayo, Paulo akatoka Athene akafika Korintho.


Na Krispo, mkuu wa sinagogi, akamwamini Bwana pamoja na nyumba yake yote. Wakorintho wengi waliposikia, waliamini, wakabatizwa.


Akatuma watu wawili miongoni mwa wale waliomtumikia kwenda Makedonia, nao ni Timotheo na Erasto, yeye mwenyewe akakaa katika Asia kwa muda.


Tukatweka kutoka huko, na siku ya pili tukafika mahali panapokabili Kio; siku ya tatu tukawasili Samo, tukakaa Trogilio, siku ya nne tukafika Mileto.


Toka Mileto Paulo akatuma watu kwenda Efeso, akawaita wazee wa kanisa.


Watu hawa wakafuatana naye, Sopatro Mberea, mwana wa Piro, na Aristarko na Sekundo, watu wa Thesalonike; na Gayo mtu wa Derbe, na Timotheo; na Tikiko na Trofimo watu wa Asia.


Kwa maana walikuwa wamemwona Trofimo, Mwefeso, pamoja naye mjini, ambaye walidhania ya kuwa Paulo amemwingiza katika hekalu.


Gayo, mwenyeji wangu, na wa kanisa lote pia, awasalimu. Erasto, wakili wa mji, na Kwarto, ndugu yetu, wanawasalimu. [