Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Timotheo 2:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini uyakatae maswali ya upumbavu yasiyo na elimu, ukijua ya kuwa huzaa magomvi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Epuka ubishi wa kijinga na kipumbavu; wajua kwamba hayo huleta magomvi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Epuka ubishi wa kijinga na kipumbavu; wajua kwamba hayo huleta magomvi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Epuka ubishi wa kijinga na kipumbavu; wajua kwamba hayo huleta magomvi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Jiepushe na mabishano ya kipumbavu na yasiyo na maana, kwa kuwa unajua hayo huzaa magomvi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Jiepushe na mabishano ya kipumbavu na yasiyo na maana, kwa kuwa wajua ya kwamba hayo huzaa magomvi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini uyakatae maswali ya upumbavu yasiyo ya elimu, ukijua ya kuwa huzaa magomvi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Timotheo 2:23
7 Marejeleo ya Msalaba  

wala wasiangalie hadithi na nasaba zisizo na kikomo, zinazozua maswali wala si mpango wa Mungu ulio katika imani; basi uwaambie hivyo.


Bali hadithi za kale, zisizokuwa za dini, uzikatae; nawe ujizoeze kupata utauwa.


Uwakumbushe mambo hayo, ukiwaonya machoni pa Mungu, wasiwe na mashindano ya maneno, ambayo hayana faida, bali huwaharibu wanaoyasikia.


Jiepushe na maneno machafu yasiyo na maana, ambayo si ya dini; kwa kuwa wataendelea zaidi katika maovu,


Lakini ujiepushe na mabishano ya kipumbavu, nasaba, magomvi, na mabishano ya sheria. Kwa kuwa hayana manufaa, tena hayafai kitu.


Vita vyatoka wapi, na mapigano yaliyoko kati yenu yatoka wapi? Si humu, katika tamaa zenu zifanyazo vita katika viungo vyenu?