Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Timotheo 2:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na neno lao litaenea kama donda ndugu. Miongoni mwa hao wamo Himenayo na Fileto,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mafundisho ya aina hiyo ni kama donda linalokula mwili. Miongoni mwa hao waliofundisha hayo ni Humenayo na Fileto.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mafundisho ya aina hiyo ni kama donda linalokula mwili. Miongoni mwa hao waliofundisha hayo ni Humenayo na Fileto.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mafundisho ya aina hiyo ni kama donda linalokula mwili. Miongoni mwa hao waliofundisha hayo ni Humenayo na Fileto.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mafundisho yao yataenea kama kidonda kisichopona. Miongoni mwao wamo Himenayo na Fileto,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mafundisho yao yataenea kama kidonda kisichopona. Miongoni mwao wamo Himenayo na Fileto,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na neno lao litaenea kama donda ndugu. Miongoni mwa hao wamo Himenayo na Fileto,

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Timotheo 2:17
4 Marejeleo ya Msalaba  

Huko moto utakuteketeza; Upanga utakukatilia mbali; Utakumeza kama tunutu alavyo; Jifanye kuwa wengi kama tunutu! Jifanye kuwa wengi kama nzige!


Lakini Wayahudi wasioamini wakawataharakisha watu wa Mataifa na kuwatia nia mbaya juu ya ndugu.


Katika hao wamo Himenayo na Iskanda, ambao nimempa Shetani watu hao, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.


Dhahabu yenu na fedha yenu zimeingia kutu, na kutu yake itawashuhudia, nayo itakula miili yenu kama moto. Mmejiwekea akiba katika siku za mwisho.