Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 22:50 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi, BWANA, nitakushukuru kati ya mataifa, Nami nitaliimbia jina lako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Kwa hiyo, nitakutukuza kati ya mataifa, ee Mwenyezi-Mungu, nitaliimbia sifa jina lako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Kwa hiyo, nitakutukuza kati ya mataifa, ee Mwenyezi-Mungu, nitaliimbia sifa jina lako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Kwa hiyo, nitakutukuza kati ya mataifa, ee Mwenyezi-Mungu, nitaliimbia sifa jina lako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo nitakusifu, Ee Mwenyezi Mungu, kati ya mataifa; nitaliimbia sifa jina lako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo nitakusifu, Ee bwana, katikati ya mataifa; nitaliimbia sifa jina lako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, BWANA, nitakushukuru kati ya mataifa, Nami nitaliimbia jina lako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 22:50
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye ni mnara wa wokovu kwa mfalme wake; Amfanyia fadhili masihi wake, Kwa Daudi na wazawa wake, hata milele.


Maana fadhili zako ni kubwa kuliko mbingu, Na uaminifu wako unafika hata mawinguni.


Basi, BWANA, nitakushukuru kati ya mataifa, Nami nitaliimbia jina lako.


tena ili Mataifa wamtukuze Mungu kwa ajili ya rehema zake; kama ilivyoandikwa, Kwa hiyo nitakushukuru kati ya Mataifa, Nami nitaliimbia jina lako.