Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 10:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye Daudi aliposikia akamtuma Yoabu, na jeshi lote la mashujaa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye Daudi aliposikia habari hizo, alimtuma Yoabu kwenda na jeshi lote la mashujaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye Daudi aliposikia habari hizo, alimtuma Yoabu kwenda na jeshi lote la mashujaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye Daudi aliposikia habari hizo, alimtuma Yoabu kwenda na jeshi lote la mashujaa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Daudi aliposikia jambo hili, akamtuma Yoabu na jeshi lote la wapiganaji.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Daudi aliposikia jambo hili, akamtuma Yoabu na jeshi lote la wapiganaji.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Daudi aliposikia akamtuma Yoabu, na jeshi lote la mashujaa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 10:7
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na Waamoni walipoona ya kuwa wamekuwa machukizo kwa Daudi, Waamoni wakatuma na kuwaajiri Washami wa Bethrehobu, na Washami wa Soba, askari elfu ishirini, na mfalme wa Maaka mwenye watu elfu moja, na watu wa Tobu watu elfu kumi na mbili.


Waamoni wakatoka, wakapanga vita mahali pa kuingilia lango; na Washami wa Soba, na wa Rehobu, na watu wa Tobu, na wa Maaka, walikuwa peke yao uwandani.