Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 10:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na Washami walipojiona kuwa wameshindwa mbele ya Israeli, wakakusanyika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Waaramu walipoona kwamba wameshindwa na Waisraeli, walijikusanya pamoja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Waaramu walipoona kwamba wameshindwa na Waisraeli, walijikusanya pamoja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Waaramu walipoona kwamba wameshindwa na Waisraeli, walijikusanya pamoja.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya Waaramu kuona wameshindwa na Israeli, wakajikusanya tena.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya Waaramu kuona wameshindwa na Israeli, wakajikusanya tena.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na Washami walipojiona kuwa wameshindwa mbele ya Israeli, wakakusanyika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 10:15
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Amoni walipoona ya kwamba Washami wamekimbia, wakakimbia nao mbele ya Abishai, wakaingia mjini. Ndipo Yoabu akarudi kutoka kwa wana wa Amoni, akaja Yerusalemu.


Naye Hadadezeri akatuma na kuwaleta Washami waliokuwako ng'ambo ya Mto; nao wakaja Helamu, naye Shobaki, jemadari wa jeshi la Hadadezeri, akawaongoza.


Tena Daudi akampiga Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba, alipokwenda kujipatia tena mamlaka yake huko Mtoni.


Mbona mataifa yanafanya ghasia, Na watu kuwaza mambo ya bure?


walizima nguvu za moto, waliokoka kutoka kwa makali ya upanga. Walitiwa nguvu baada ya kuwa dhaifu, walikuwa hodari katika vita, walikimbiza majeshi ya wageni.


Kisha ikawa, hapo huyo Yabini, mfalme wa Hazori, aliposikia habari ya mambo hayo, akatuma mjumbe aende kwa Yobabu, mfalme wa Madoni, na kwa mfalme wa Shimroni, na mfalme wa Akshafu,


Wafalme hao wote wakakutana pamoja; wakaenda na kupanga mahema yao pamoja hapo penye maji ya Meromu, ili kupigana na Israeli.