Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Petro 1:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na katika utauwa wenu upendano wa ndugu, na katika upendano wa ndugu, upendo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

uchaji wenu kwa urafiki wa kindugu, na urafiki wenu wa kindugu kwa mapendo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

uchaji wenu kwa urafiki wa kindugu, na urafiki wenu wa kindugu kwa mapendo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

uchaji wenu kwa urafiki wa kindugu, na urafiki wenu wa kindugu kwa mapendo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

katika utauwa, upendano wa kindugu; na katika upendano wa kindugu, upendo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

katika utauwa, upendano wa ndugu; na katika upendano wa ndugu, upendo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na katika utauwa wenu upendano wa ndugu, na katika upendano wa ndugu, upendo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Petro 1:7
15 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa pendo la udugu, mpendane ninyi kwa ninyi; kwa heshima mkiwatanguliza wenzenu;


Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.


Zaidi ya hayo yote jivikeni upendo, ndio kifungo cha ukamilifu.


Bwana na awaongeze na kuwazidisha katika upendo, ninyi kwa ninyi, na kwa watu wote, kama vile sisi nasi tulivyo kwenu;


Angalieni mtu awaye yote asimlipe mwenziwe mabaya kwa mabaya; bali siku zote lifuateni lililo jema, ninyi kwa ninyi na kwa watu wote.


Upendano wa ndugu na udumu.


Mkiisha kujitakasa roho zenu kwa kuitii kweli, hata kuufikia upendano wa ndugu usio na unafiki, basi jitahidini kupendana kwa moyo safi.


Waheshimuni watu wote. Wapendeni ndugu. Mcheni Mungu. Mpeni heshima mfalme.


Neno la mwisho ni hili; muwe na nia moja, wenye kuhurumiana, wenye kupendana kama ndugu, wasikitikivu, wanyenyekevu;


Sisi tunajua ya kuwa tumepita toka mautini kuingia uzimani, kwa maana tunawapenda ndugu. Yeye asiyependa, akaa katika mauti.


Katika hili tumelifahamu pendo, kwa kuwa yeye aliutoa uhai wake kwa ajili yetu; imetupasa na sisi kuutoa uhai wetu kwa ajili ya hao ndugu.


Na amri hii tumepewa na yeye, ya kwamba yeye ampendaye Mungu, ampende na ndugu yake.