Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 9:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye malkia wa Sheba alipoona hekima ya Sulemani, na nyumba aliyoijenga,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Malkia wa Sheba alipoiona hekima ya Solomoni na nyumba aliyokuwa ameijenga,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Malkia wa Sheba alipoiona hekima ya Solomoni na nyumba aliyokuwa ameijenga,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Malkia wa Sheba alipoiona hekima ya Solomoni na nyumba aliyokuwa ameijenga,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Malkia wa Sheba alipoona hekima yote ya Sulemani, na jumba la kifalme alilokuwa amejenga,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Malkia wa Sheba alipoona hekima yote ya Sulemani na jumba la kifalme alilokuwa amejenga,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye malkia wa Sheba alipoona hekima ya Sulemani, na nyumba aliyoijenga,

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 9:3
7 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Sulemani akamfumbulia maswali yake yote; wala hakukuwa na neno aliloshindwa mfalme asimwambie.


Naye Sulemani akamfumbulia maswali yake yote; wala halikuwako neno alilofichiwa Sulemani, asimwambie.


na vyakula vya mezani mwake, na kikao cha maofisa wake, na huduma ya watumishi wake na mavazi yao; pia wanyweshaji wake na mavazi yao; na daraja yake ya kupandia mpaka nyumba ya BWANA; roho yake ilizimia.


Yatafakarini maua jinsi yameavyo; hayatendi kazi wala hayasokoti; nami nawaambia ya kwamba hata Sulemani katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama mojawapo la hayo.


Naye, alipofika na kuiona neema ya Mungu akafurahi, akawasihi wote waambatane na Bwana kwa moyo wote.