Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 9:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi uzani wa dhahabu iliyomfikia Sulemani mwaka mmoja, ni talanta mia sita sitini na sita za dhahabu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kila mwaka, Solomoni alipelekewa dhahabu kadiri ya kilo 23,000,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kila mwaka, Solomoni alipelekewa dhahabu kadiri ya kilo 23,000,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kila mwaka, Solomoni alipelekewa dhahabu kadiri ya kilo 23,000,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Uzito wa dhahabu ambayo Sulemani alipokea kwa mwaka ulikuwa talanta mia sita sitini na sita (666),

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Uzito wa dhahabu ambayo Sulemani alipokea kwa mwaka ulikuwa talanta 666,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi uzani wa dhahabu iliyomfikia Sulemani mwaka mmoja, ni talanta mia sita sitini na sita za dhahabu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 9:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Hiramu akamletea merikebu kwa mikono ya watumishi wake, na watumishi waliokuwa wanamaji; nao wakafika Ofiri pamoja na watumishi wa Sulemani, wakachukua kutoka huko talanta mia nne na hamsini za dhahabu, wakamletea mfalme Sulemani.


Mfalme Sulemani akampa malkia wa Sheba kila kitu alichokitaka na zaidi ya vile alivyomletea mfalme. Basi akarudi, akaenda zake katika nchi yake, yeye na watumishi wake.


Kwa ajili ya hekalu lako Yerusalemu Wafalme watakuletea hedaya.


Wafalme wa Tarshishi na visiwa na walete kodi; Wafalme wa Sheba na Seba na watoe vipawa.


Na aishi maisha marefu! Na wampe dhahabu ya Sheba; Na wamwombee daima; Na kumbariki mchana kutwa.