Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 33:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye BWANA akasema na Manase, na watu wake; wala wasiangalie.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu alimwonya Manase na watu wake, lakini hawakumsikia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu alimwonya Manase na watu wake, lakini hawakumsikia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu alimwonya Manase na watu wake, lakini hawakumsikia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu akasema na Manase pamoja na watu wake, lakini hawakumjali.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana akasema na Manase pamoja na watu wake, lakini hawakumjali.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye BWANA akasema na Manase, na watu wake; wala wasiangalie.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 33:10
11 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akanena kwa watumishi wake manabii, akisema,


Basi mambo yote ya Manase yaliyosalia, na maombi yake kwa Mungu wake, na maneno ya waonaji walionena naye kwa jina la BWANA, Mungu wa Israeli, tazama, yameandikwa kati ya mambo ya wafalme wa Israeli.


Basi Manase aliwapotosha Yuda na wenyeji wa Yerusalemu, hata wakazidi kufanya mabaya kuliko mataifa, aliowaharibu BWANA mbele ya wana wa Israeli.


Kwa kuwa nimeita, nanyi mkakataa; Nimeunyosha mkono wangu, wala hakuna aliyeangalia;


Bali mmeupuuza ushauri wangu, Wala hamkutaka maonyo yangu;


Msiwe ninyi kama baba zenu, ambao manabii wa zamani waliwalilia, wakisema, BWANA wa majeshi asema hivi, Rudini sasa, na kuziacha njia zenu mbovu, na matendo yenu maovu; lakini hawakusikia, wala kunitii, asema BWANA.