2 Mambo ya Nyakati 32:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC
Na watumishi wake wakazidi kusema juu ya BWANA Mungu, na juu ya Hezekia, mtumishi wake.
Tazama sura
Matoleo zaidi
Watumishi wa mfalme wa Ashuru walisema maneno mengine mengi mabaya dhidi ya Mwenyezi-Mungu, na dhidi ya Hezekia mtumishi wake.
Tazama sura
Watumishi wa mfalme wa Ashuru walisema maneno mengine mengi mabaya dhidi ya Mwenyezi-Mungu, na dhidi ya Hezekia mtumishi wake.
Tazama sura
Watumishi wa mfalme wa Ashuru walisema maneno mengine mengi mabaya dhidi ya Mwenyezi-Mungu, na dhidi ya Hezekia mtumishi wake.
Tazama sura
Maafisa wa Senakeribu wakaendelea kunena dhidi ya Bwana Mwenyezi Mungu na dhidi ya mtumishi wake Hezekia.
Tazama sura
Maafisa wa Senakeribu wakaendelea kunena dhidi ya bwana aliye Mungu na dhidi ya mtumishi wake Hezekia.
Tazama sura
Na watumishi wake wakazidi kusema juu ya BWANA Mungu, na juu ya Hezekia, mtumishi wake.
Tazama sura
Tafsiri zingine