Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 30:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Likawa neno jema machoni pa mfalme, na kusanyiko lote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aidha, mpango huu ulimridhisha mfalme pamoja na watu wote waliokuwa wamekusanyika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aidha, mpango huu ulimridhisha mfalme pamoja na watu wote waliokuwa wamekusanyika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aidha, mpango huu ulimridhisha mfalme pamoja na watu wote waliokuwa wamekusanyika.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mpango huu ukaonekana wafaa kwa mfalme na kusanyiko lote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mpango huu ukaonekana wafaa kwa mfalme na kusanyiko lote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Likawa neno jema machoni pa mfalme, na kusanyiko lote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 30:4
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nao jamii nzima wakasema ya kwamba watafanya hivyo; kwa kuwa neno hilo lilikuwa jema machoni pa watu wote.


Kwa sababu hawakuweza kuifanya wakati ule, kwa kuwa makuhani wa kutosha walikuwa hawajajitakasa, wala watu hawajakusanyika huko Yerusalemu.


Basi wakafanya amri kupiga mbiu kati ya Israeli yote, toka Beer-sheba mpaka Dani, ya kwamba watu waje wamfanyie Pasaka BWANA, Mungu wa Israeli, huko Yerusalemu; maana tangu siku nyingi hawakuifanya kama vile ilivyoandikwa.