Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 3:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akaanza kujenga siku ya pili ya mwezi wa pili katika mwaka wa nne wa kutawala kwake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mfalme Solomoni alianza ujenzi wa hekalu mnamo mwezi wa pili wa mwaka wa nne wa utawala wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mfalme Solomoni alianza ujenzi wa hekalu mnamo mwezi wa pili wa mwaka wa nne wa utawala wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mfalme Solomoni alianza ujenzi wa hekalu mnamo mwezi wa pili wa mwaka wa nne wa utawala wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alianza kujenga siku ya pili ya mwezi wa pili katika mwaka wa nne wa utawala wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alianza kujenga siku ya pili ya mwezi wa pili katika mwaka wa nne wa utawala wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akaanza kujenga siku ya pili ya mwezi wa pili katika mwaka wa nne wa kutawala kwake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 3:2
3 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa katika mwaka wa mia nne na themanini baada ya wana wa Israeli kutoka nchini Misri, katika mwaka wa nne wa kutawala kwake Sulemani juu ya Israeli, katika mwezi wa Zivu, ndio mwezi wa pili, akaanza kuijenga nyumba ya BWANA.


Ndipo Sulemani akaanza kuijenga nyumba ya BWANA huko Yerusalemu, juu ya mlima Moria, pale BWANA alipomtokea Daudi babaye alipotengeza mahali pale alipoagiza Daudi, katika kiwanja cha kupuria cha Arauna Myebusi.


Basi hivi ndivyo vipimo vya majengo ya nyumba ya Mungu alivyoviweka Sulemani. Urefu wake ulikuwa dhiraa sitini na upana wake dhiraa ishirini.