Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 3:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akalifanya pazia la samawati na urujuani na nyekundu, na kitani safi, akaitengeneza makerubi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alitengeneza pazia kwa kitambaa cha kitani safi, cha rangi ya samawati, ya zambarau na nyekundu. Alilinakshi kwa michoro ya viumbe wenye mabawa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alitengeneza pazia kwa kitambaa cha kitani safi, cha rangi ya samawati, ya zambarau na nyekundu. Alilinakshi kwa michoro ya viumbe wenye mabawa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alitengeneza pazia kwa kitambaa cha kitani safi, cha rangi ya samawati, ya zambarau na nyekundu. Alilinakshi kwa michoro ya viumbe wenye mabawa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na za kitani safi, na kutarizi makerubi juu yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na za kitani safi, na kutarizi makerubi juu yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akalifanya pazia la samawati na urujuani na nyekundu, na kitani safi, akaitengenezea makerubi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 3:14
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yakaenea mabawa ya makerubi hayo dhiraa ishirini; yakasimama juu ya miguu yao, na nyuso zao ziliielekea nyumba.


Na hilo pazia la lango la ua, lilikuwa ni kazi ya mwenye kutia taraza, lilikuwa la nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na kitani nzuri ya kusokotwa; lilikuwa na urefu wa dhiraa ishirini, na kutukuka kwake katika huo upana wake kulikuwa dhiraa tano, kupatana na ile chandarua ya ua.


hapo watakapoanza safari, Haruni ataingia ndani, na wanawe, nao watalishusha pazia la sitara, na kulifunika sanduku la ushahidi kwa hilo pazia;


Na tazama, pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu hadi chini; nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka;


njia ile aliyotuanzia iliyo mpya, iliyo hai, ipitayo katika pazia, yaani, mwili wake;


Na nyuma ya pazia la pili, ile hema iitwayo Patakatifu pa patakatifu,