Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 29:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akafanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, kama aliyoyafanya Daudi babaye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu, kama vile alivyofanya Daudi, babu yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu, kama vile alivyofanya Daudi, babu yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu, kama vile alivyofanya Daudi, babu yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akafanya yaliyo mema machoni pa Mwenyezi Mungu kama Daudi baba yake alivyofanya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akafanya yaliyo mema machoni pa bwana kama Daudi baba yake alivyofanya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akafanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, kama aliyoyafanya Daudi babaye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 29:2
6 Marejeleo ya Msalaba  

Alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala; akatawala miaka ishirini na tisa katika Yerusalemu; na jina la mama yake aliitwa Abiya, binti Zekaria.


Naye BWANA alikuwa pamoja na Yehoshafati, kwa kuwa alikwenda katika njia za kwanza za Daudi babaye, asiyatafute Mabaali;


lakini alimtafuta Mungu wa baba yake, akaenda katika amri zake, wala si katika matendo ya Israeli.


Akafanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, sawasawa na yote aliyoyafanya Amazia babaye.


Ahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini alipoanza kutawala; akatawala katika Yerusalemu miaka kumi na sita; wala hakufanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, kama Daudi babaye;


Akafanya yaliyo mema machoni pa BWANA, akaziendea njia za Daudi babaye, asigeuke kwa kulia wala kwa kushoto.