Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 26:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akafanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, sawasawa na yote aliyoyafanya Amazia babaye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu kama baba yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu kama baba yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu kama baba yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akatenda yaliyo mema machoni pa Mwenyezi Mungu, vile Amazia baba yake alivyofanya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akatenda yaliyo mema machoni pa Bwana, kama Amazia baba yake alivyofanya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akafanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, sawasawa na yote aliyoyafanya Amazia babaye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 26:4
8 Marejeleo ya Msalaba  

Alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala; akatawala miaka hamsini na miwili huko Yerusalemu. Na jina la mamaye aliitwa Yekolia wa Yerusalemu.


Akafanya yaliyo mema machoni pa BWANA; akafanya kama yote aliyoyafanya Uzia baba yake.


Yoashi akafanya yaliyo mema machoni pa BWANA siku zote za Yehoyada kuhani.


Akafanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, lakini si kwa moyo mkamilifu.


Uzia alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala; akatawala huko Yerusalemu miaka hamsini na miwili; na jina la mamaye aliitwa Yekolia wa Yerusalemu.


Akajitia nia amtafute Mungu katika siku za Zekaria, aliyekuwa na fahamu katika maono ya Mungu; na muda alipomtafuta BWANA, Mungu alimfanikisha.


Akafanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, kama alivyofanya Uzia babaye; isipokuwa hakuingia hekaluni mwa BWANA. Lakini watu waliendelea kufanya maovu.


Akafanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, kama aliyoyafanya Daudi babaye.