Basi Yehoramu alipoinuliwa juu ya ufalme wa babaye, na kujiimarisha, akawaua nduguze wote kwa upanga, na baadhi ya wakuu wa Israeli pia.
2 Mambo ya Nyakati 25:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Basi ikawa, alipojiimarisha katika ufalme wake, akawaua watumishi wale waliomwua mfalme babaye. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Mara tu Amazia alipojiimarisha mamlakani aliwaua watumishi waliomuua mfalme baba yake. Biblia Habari Njema - BHND Mara tu Amazia alipojiimarisha mamlakani aliwaua watumishi waliomuua mfalme baba yake. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Mara tu Amazia alipojiimarisha mamlakani aliwaua watumishi waliomuua mfalme baba yake. Neno: Bibilia Takatifu Baada ya ufalme kuimarika mkononi mwake, aliwaua maafisa waliomuua mfalme baba yake. Neno: Maandiko Matakatifu Baada ya ufalme kuimarika mikononi mwake, aliwaua maafisa waliomuua mfalme baba yake. BIBLIA KISWAHILI Basi ikawa, alipojiimarisha katika ufalme wake, akawaua watumishi wale waliomwua mfalme babaye. |
Basi Yehoramu alipoinuliwa juu ya ufalme wa babaye, na kujiimarisha, akawaua nduguze wote kwa upanga, na baadhi ya wakuu wa Israeli pia.
Lakini watoto wao hakuwaua, ila alifanya kulingana na hayo yaliyoandikwa katika Torati, katika kitabu cha Musa, kama BWANA alivyoamuru, akisema, Wazazi wasiuawe kwa ajili ya dhambi ya watoto wao wala watoto wasiuawe kwa ajili ya dhambi ya wazazi; lakini kila mtu atakufa kwa dhambi yake mwenyewe.
Lakini watu wa nchi wakawaua wote waliomfanyia fitina mfalme Amoni; watu wa nchi wakamfanya Yosia mwanawe awe mfalme badala yake.
Lakini, mtu akimwendea mwenziwe kwa kujikinai, kusudi apate kumwua kwa hila; huyo utamwondoa hata madhabahuni pangu, auawe.