Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 25:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akafanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, lakini si kwa moyo mkamilifu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alitenda yaliyo mema mbele ya Mwenyezi-Mungu ingawa hakuyatenda kwa moyo mnyofu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alitenda yaliyo mema mbele ya Mwenyezi-Mungu ingawa hakuyatenda kwa moyo mnyofu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alitenda yaliyo mema mbele ya Mwenyezi-Mungu ingawa hakuyatenda kwa moyo mnyofu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akatenda yaliyo mema machoni pa Mwenyezi Mungu, lakini sio kwa moyo wake wote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akatenda yaliyo mema machoni pa bwana, lakini sio kwa moyo wake wote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akafanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, lakini si kwa moyo mkamilifu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 25:2
12 Marejeleo ya Msalaba  

Walakini mahali pa juu hapakuondolewa; watu wakaendelea kutoa dhabihu na kufukiza uvumba katika mahali pa juu.


Yoashi akafanya yaliyo mema machoni pa BWANA siku zote za Yehoyada kuhani.


Basi ikawa, Amazia alipokwisha rudi kutoka kuwaua Waedomi, alileta miungu ya wana wa Seiri, akaisimamisha kuwa miungu yake, akaisujudia, akaifukizia uvumba.


Basi ikawa, alipojiimarisha katika ufalme wake, akawaua watumishi wale waliomwua mfalme babaye.


Akafanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, sawasawa na yote aliyoyafanya Amazia babaye.


Kwa maana mioyo yao haikuwa thabiti kwake, Wala hawakuwa waaminifu katika agano lake.


Bwana akanena, Kwa kuwa watu hawa hunikaribia na kuniheshimu kwa vinywa vyao, bali mioyo yao wamefarakana nami, na kicho chao walichonacho kwangu ni maagizo ya wanadamu waliyofundishwa;


Moyo wao umegawanyika; sasa wataonekana kuwa na hatia; yeye atazipiga madhabahu zao, ataziharibu nguzo zao.


Huna fungu wala huna sehemu katika jambo hili, kwa kuwa moyo wako si mnyofu mbele za Mungu.


Mtu wa nia mbili husitasita katika njia zake zote.


Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu, enyi wenye nia mbili.


Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.