Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 24:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ikawa baada ya haya, Yoashi alikuwa na nia ya kuitengeneza nyumba ya Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baadaye Yoashi aliamua kurekebisha nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baadaye Yoashi aliamua kurekebisha nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baadaye Yoashi aliamua kurekebisha nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya muda, Yoashi akaamua kukarabati Hekalu la Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya muda, Yoashi akaamua kukarabati Hekalu la bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa baada ya haya, Yoashi alikuwa na nia ya kuitengeneza nyumba ya Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 24:4
3 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaiacha nyumba ya BWANA, Mungu wa baba zao; wakatumikia Maashera na sanamu; ghadhabu ikawajia Yuda na Yerusalemu kwa sababu ya hiyo hatia yao.


Yehoyada akamwoza wake wawili, naye akazaa watoto wa kiume na wa kike.


Kwa kuwa wana wa Athalia, yule mwanamke mwovu, walikuwa wameibomoa nyumba ya Mungu; na vitakatifu vyote vya nyumba ya BWANA wamewapatia Mabaali.