Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 24:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yehoyada akamwoza wake wawili, naye akazaa watoto wa kiume na wa kike.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yehoyada akamwoza wake wawili, nao wakamzalia watoto wa kiume na wa kike.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yehoyada akamwoza wake wawili, nao wakamzalia watoto wa kiume na wa kike.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yehoyada akamwoza wake wawili, nao wakamzalia watoto wa kiume na wa kike.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yehoyada akamwoza wake wawili, akazaa watoto wa kiume na wa kike.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yehoyada akamwoza wake wawili, akazaa watoto wa kiume na wa kike.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yehoyada akamwoza wake wawili, naye akazaa watoto wa kiume na wa kike.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 24:3
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akakaa katika jangwa la Parani; mama yake akamtwalia mke katika nchi ya Misri.


bali nenda hata nchi yangu, na kwa jamaa zangu, ukamtwalie mwanangu Isaka mke.


Lameki akajitwalia wake wawili, jina la wa kwanza ni Ada, na jina la wa pili ni Sila.


Lakini Yehoyada akawa mzee, mwenye siku nyingi, akafa; alipokufa alikuwa na umri wa miaka mia moja na thelathini.


Yoashi akafanya yaliyo mema machoni pa BWANA siku zote za Yehoyada kuhani.


Ikawa baada ya haya, Yoashi alikuwa na nia ya kuitengeneza nyumba ya Mungu.