Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 21:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wakati wa enzi zake Edomu wakaasi utawala wa Yuda, wakajifanyia mfalme.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakati wa enzi ya Yehoramu, watu wa Edomu waliasi utawala wa Yuda, wakamtawaza mfalme wao wenyewe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakati wa enzi ya Yehoramu, watu wa Edomu waliasi utawala wa Yuda, wakamtawaza mfalme wao wenyewe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakati wa enzi ya Yehoramu, watu wa Edomu waliasi utawala wa Yuda, wakamtawaza mfalme wao wenyewe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakati wa utawala wa Yehoramu, Edomu waliasi dhidi ya Yuda na kujiwekea mfalme wao wenyewe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati wa Yehoramu, Edomu waliasi dhidi ya Yuda na kujiwekea mfalme wao wenyewe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakati wa enzi zake Edomu wakaasi utawala wa Yuda, wakajifanyia mfalme.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 21:8
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa upanga wako wewe utaishi, nawe utamtumikia nduguyo; Na itakuwa utakapoponyoka, Utalivunja kongwa lake katika shingo yako.


Wala hapakuwa na mfalme katika Edomu; naibu alikuwa ndiye mfalme.


Basi mfalme wa Israeli akaenda, na mfalme wa Yuda, na mfalme wa Edomu; wakazunguka mwendo wa siku saba; wala hapakuwa na maji kwa jeshi, wala kwa wanyama waliowafuata.


Hivyo Edomu wakaasi utawala wa Yuda hata leo; wakati huo uo nao Libna wakaasi utawala wake: kwa sababu alikuwa amemwacha BWANA, Mungu wa baba zake.


Ndipo Yehoramu akavuka na makamanda wake, na magari yake yote pamoja naye; akaondoka usiku, akawapiga Waedomi waliomzunguka yeye na hao makamanda wa magari.


Kwa kuwa Waedomi walikuwa wamekuja tena, na kuwapiga Yuda, na kuwachukua wafungwa.