Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 20:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nao walikaa humo, wamekujengea patakatifu pa jina lako humo, wakisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nao wamekaa humu, na kukujengea hekalu kwa heshima ya jina lako, wakijua

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nao wamekaa humu, na kukujengea hekalu kwa heshima ya jina lako, wakijua

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nao wamekaa humu, na kukujengea hekalu kwa heshima ya jina lako, wakijua

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wameishi ndani yake na humo wamekujengea mahali patakatifu kwa ajili ya Jina lako, wakisema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wameishi ndani yake na humo wamekujengea mahali patakatifu kwa ajili ya Jina lako, wakisema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao walikaa humo, wamekujengea patakatifu pa jina lako humo, wakisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 20:8
7 Marejeleo ya Msalaba  

Angalia, najenga nyumba kwa jina la BWANA, Mungu wangu, ili kumfanyia wakfu, ya kufukizia mbele zake fukizo la manukato, na ya mkate wa wonyesho wa daima, na ya sadaka za kuteketezwa za asubuhi na jioni, na za siku za sabato, na za mwezi mpya, na za sikukuu zilizoagizwa za BWANA, Mungu wetu. Hili ni agizo la milele kwa Israeli.


Si wewe, Ee Mungu wetu, uliyewafukuza wenyeji wa nchi hii mbele ya watu wako Israeli, ukawapa wazao wa Abrahamu rafiki yako hata milele?


Yakitujia mabaya, upanga, hukumu, au tauni, au njaa, tutasimama mbele ya nyumba hii, na mbele zako, (maana jina lako limo katika nyumba hii), na kukulilia katika shida yetu, nawe utasikia na kuokoa.


Basi BWANA amelitimiza neno lile alilolinena; nami nimesimama mahali pa Daudi baba yangu, na kuketi katika kiti cha enzi cha Israeli, kama BWANA alivyoahidi, nami nimeijenga nyumba kwa jina la BWANA, Mungu wa Israeli.


Tangu siku ile nilipowatoa watu wangu katika nchi ya Misri, sikuchagua mji wowote wa kabila zote za Israeli ili kujenga nyumba, jina langu liwe humo; wala sikumchagua mtu yeyote awe mkuu juu ya watu wangu Israeli;


lakini nimeuchagua Yerusalemu, jina langu liwe humo; na Daudi nimemchagua awe juu ya watu wangu Israeli.


Basi BWANA aliwapa Israeli nchi hiyo yote, ambayo aliapa kwamba atawapa baba zao; nao wakaimiliki, na kukaa humo.