Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 20:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

akapatana naye wakazitengeneza merikebu za kuendea Tarshishi; wakazifanya merikebu zile huko Esion-geberi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walishirikiana kuunda merikebu za kusafiria mpaka Tarshishi; waliziundia huko Esion-geberi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walishirikiana kuunda merikebu za kusafiria mpaka Tarshishi; waliziundia huko Esion-geberi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walishirikiana kuunda merikebu za kusafiria mpaka Tarshishi; waliziundia huko Esion-geberi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akaungana naye kutengeneza meli nyingi za kwenda Tarshishi, nazo zilitengenezwa huko Esion-Geberi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akaungana naye kutengeneza meli nyingi za kwenda Tarshishi, nazo zilitengenezwa huko Esion-Geberi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

akapatana naye wakazitengeneza merikebu za kuendea Tarshishi; wakazifanya merikebu zile huko Esion-geberi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 20:36
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa mfalme alikuwa na merikebu za Tarshishi baharini pamoja na merikebu za Hiramu; mara moja katika miaka mitatu huja merikebu za Tarshishi, zikileta dhahabu, na fedha, na pembe, na nyani, na tausi.


Yehoshafati akafanya merikebu za Tarshishi ziende Ofiri kuchukua dhahabu; lakini hazikuenda; kwa maana merikebu zilivunjika huko Esion-geberi.


Tena, mfalme Sulemani akaunda merikebu huko Ezion-geberi, ulioko karibu na Elothi, pwani ya Bahari ya Shamu, katika nchi ya Edomu.


Ndipo Eliezeri mwana wa Dodavahu wa Maresha akatoa unabii juu ya Yehoshafati, akasema, Kwa sababu umepatana na Ahazia, BWANA amezivunjavunja kazi zako. Zikavunjika merikebu, zisiweze kufika Tarshishi.


Ndipo Sulemani akaenda Esion-geberi, na Elothi, pwani ya nchi ya Edomu.


Kwa kuwa mfalme alikuwa na merikebu zilizokwenda Tarshishi pamoja na watumishi wa Hiramu; mara moja katika miaka mitatu huja merikebu za Tarshishi, zikileta dhahabu, na fedha, na pembe, na nyani, na tausi.


Wakasafiri kutoka Abrona, wakapiga kambi Esion-geberi.