Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 19:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akateua waamuzi katika nchi, katikati ya miji yote yenye maboma ya Yuda, mji kwa mji;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aliteua waamuzi katika miji yote ya Yuda yenye ngome,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aliteua waamuzi katika miji yote ya Yuda yenye ngome,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aliteua waamuzi katika miji yote ya Yuda yenye ngome,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akawaweka waamuzi katika nchi, kwenye miji yote ya Yuda yenye ngome.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akawaweka waamuzi katika nchi, kwenye miji yote ya Yuda yenye maboma.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akateua waamuzi katika nchi, katikati ya miji yote yenye maboma ya Yuda, mji kwa mji;

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 19:5
9 Marejeleo ya Msalaba  

Tena katika Yerusalemu Yehoshafati akateua baadhi ya Walawi na makuhani, na wakuu wa jamaa za Waisraeli wawe waamuzi kwa hukumu za BWANA na kesi kati yao. Nao wakarudi Yerusalemu.


Zaidi ya hayo utajipatia katika watu hawa watu walio na uwezo, wenye kumcha Mungu, watu wa kweli, wenye kuchukia mapato ya udhalimu; ukawaweka juu yao, wawe wakuu wa maelfu, na wakuu wa mamia, na wakuu wa hamsini hamsini, na wakuu wa kumi kumi;


kisha watatwaa mawe mengine, na kuyatia mahali pa mawe hayo; naye atatwaa chokaa nyingine, na kuipaka chokaa hiyo nyumba.


Mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiue, na mtu akiua, itampasa hukumu.


Bali mimi nawaambieni, Kila amkasirikiaye ndugu yake itampasa hukumu; na mtu akimtusi ndugu yake, anastahili kuhukumiwa na baraza; na mtu akimwambia nduguye, Ewe mpumbavu, anastahili kuingia katika moto wa Jehanamu.


Msitazame nafsi za watu katika hukumu; muwasikize wadogo na wakubwa sawasawa; msiche uso wa mtu yeyote; kwa kuwa hukumu ni ya Mungu; na lile neno liwashindalo mniletee mimi, nami nitalisikiza.