Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 19:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yehoshafati mfalme wa Yuda akarudi Yerusalemu nyumbani kwake kwa amani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mfalme Yehoshafati wa Yuda alirejea salama katika ikulu yake mjini Yerusalemu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mfalme Yehoshafati wa Yuda alirejea salama katika ikulu yake mjini Yerusalemu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mfalme Yehoshafati wa Yuda alirejea salama katika ikulu yake mjini Yerusalemu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mfalme Yehoshafati wa Yuda akarudi salama kwenye jumba lake la kifalme huko Yerusalemu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mfalme Yehoshafati wa Yuda akarudi salama kwenye jumba lake la kifalme huko Yerusalemu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yehoshafati mfalme wa Yuda akarudi Yerusalemu nyumbani kwake kwa amani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 19:1
3 Marejeleo ya Msalaba  

Pigano likazidi siku ile; lakini mfalme wa Israeli akajitegemeza garini juu ya Washami hata jioni; akafa kama wakati wa kuchwa kwa jua.


Yehu mwana wa Hanani mwonaji akatoka kwenda kumlaki, akamwambia mfalme Yehoshafati, Je! Imekupasa kuwasaidia waovu, na kuwapenda wamchukiao BWANA? Kwa ajili ya hayo ghadhabu itokayo kwa BWANA i juu yako.