Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 13:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wala Yeroboamu hakupata nguvu tena siku za Abiya; kisha BWANA akampiga, akafa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeroboamu hakuweza kupata nguvu tena wakati wa Abiya. Mwishowe Mwenyezi-Mungu alimpiga, naye akafa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeroboamu hakuweza kupata nguvu tena wakati wa Abiya. Mwishowe Mwenyezi-Mungu alimpiga, naye akafa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeroboamu hakuweza kupata nguvu tena wakati wa Abiya. Mwishowe Mwenyezi-Mungu alimpiga, naye akafa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeroboamu hakupata nguvu tena wakati wa utawala wa Abiya. Naye Mwenyezi Mungu akampiga Yeroboamu akafa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeroboamu hakupata nguvu tena wakati wa utawala wa Abiya. Naye bwana akampiga Yeroboamu akafa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wala Yeroboamu hakupata nguvu tena siku za Abiya; kisha BWANA akampiga, akafa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 13:20
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na siku alizotawala Yeroboamu zilikuwa miaka ishirini na miwili; akalala na babaze, naye Nadabu mwanawe akatawala mahali pake.


Mwaka wa ishirini wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Asa alianza kutawala juu ya Yuda.


Abiya akamfuata Yeroboamu, akamnyang'anya miji, Betheli na vijiji vyake na Yeshana na vijiji vyake, na Efroni na vijiji vyake.


Ila Abiya akapata nguvu, akaoa wake kumi na wanne, akazaa watoto wa kiume ishirini na wawili, na mabinti kumi na sita.


Mwanadamu, tazama, ninakuondolea kwa pigo moja tunu, mteule wa macho yako; walakini hutaomboleza wala kulia, wala yasichuruzike machozi yako.


Mara malaika wa Bwana akampiga, kwa sababu hakumpa Mungu utukufu; akaliwa na wadudu, akatokwa na roho.


Tena ikawa, yapata siku kumi baadaye, BWANA alimpiga huyo Nabali, hadi akafa.


Daudi akasema, Aishivyo BWANA, BWANA atampiga; au siku yake ya kufa itampata; atashuka kwenda vitani na kupotea.