Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 12:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Walakini watamtumikia; ili wapate kujua utumwa wangu, na huo utumwa wa falme za nchi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

lakini watamtumikia ili wapate kujua tofauti iliyopo kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa duniani.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

lakini watamtumikia ili wapate kujua tofauti iliyopo kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa duniani.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

lakini watamtumikia ili wapate kujua tofauti iliyopo kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa duniani.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hata hivyo, watamtumikia Shishaki ili wapate kujifunza tofauti kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa nchi nyingine.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hata hivyo, watamtumikia Shishaki ili wapate kujifunza tofauti kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa nchi nyingine.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Walakini watamtumikia; ili wapate kujua utumwa wangu, na huo utumwa wa falme za nchi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 12:8
8 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, sisi hapa tu watumwa leo, na katika nchi hii uliyowapa baba zetu, wapate kula matunda yake na mema yake, tazama, sisi hapa tu watumwa ndani yake.


Adui zao wakawaonea, Wakatiishwa chini ya mkono wao.


Ee BWANA, Mungu wetu, mabwana wengine zaidi ya wewe wametumiliki; lakini kwa msaada wako peke yako tutalitaja jina lako.


Ee BWANA, unirudi kwa haki; si kwa hasira yako, usije ukaniangamiza.


Naam, ijapokuwa waajiri kati ya mataifa, sasa nitawakusanya; nao wanaanza kupunguka kwa sababu ya mzigo wa mfalme wa wakuu.


Basi haya ndiyo mataifa ambao BWANA aliwaacha, ili awajaribu Israeli kwa hao, yaani, awajaribu hao wote ambao hawakuvijua vita vyote vya Kanaani;


ili kwamba vizazi vya wana wa Israeli wapate kujua ili kuwafundisha vita, hasa wao ambao hawakujua vita kabla ya wakati ule;