Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 12:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akaitwaa miji yenye maboma iliyokuwa ya Yuda, akaja Yerusalemu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aliiteka miji yenye ngome katika Yuda, akafika hadi Yerusalemu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aliiteka miji yenye ngome katika Yuda, akafika hadi Yerusalemu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aliiteka miji yenye ngome katika Yuda, akafika hadi Yerusalemu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akateka miji ya Yuda yenye ngome, akaendelea hadi Yerusalemu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akateka miji ya Yuda yenye ngome akaendelea mpaka Yerusalemu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akaitwaa miji yenye maboma iliyokuwa ya Yuda, akaja Yerusalemu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 12:4
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme wa Ashuru akawatuma jemadari wake, na mkuu wa matowashi, na kamanda wake, toka Lakishi, kwa mfalme Hezekia huko Yerusalemu, pamoja na jeshi kubwa. Nao wakakwea wakafika Yerusalemu. Na walipokwisha kufika, wakaja wakasimama karibu na mfereji wa birika la juu, lililo katika njia kuu ya kuuendea Uwanda wa Dobi.


je! Sitautenda Yerusalemu na sanamu zake vile vile kama nilivyoutenda Samaria na sanamu zake?


Ikawa, katika mwaka wa kumi na nne wa kutawala kwake mfalme Hezekia, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, akapanda ili kupigana na miji yote ya Yuda yenye boma, akaitwaa.


naye atapita, atapita kwa kasi na kuingia Yuda; atafurika na kupita katikati, atafika hadi shingoni; na kule kuyanyosha mabawa yake kutaujaza upana wa nchi yako, Ee Imanueli.


Pandeni juu ya kuta zake mkaharibu, lakini msiharibu kabisa; ondoeni matawi yake; kwa maana si yake BWANA.


(basi hiyo nusu ya mkutano ilikuwa ni kondoo elfu mia tatu na thelathini na saba na mia tano,