Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 10:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wakamwambia, wakasema, Ukiwa mwema kwao watu hawa, na kuwapendeza, na kuwaambia maneno mazuri, hapo watakuwa watumishi wako siku zote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wazee hao wakamjibu, “Ukiwahurumia watu hawa, ukiwafurahisha na kusema nao maneno mazuri, hapo watakuwa watumishi wako daima.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wazee hao wakamjibu, “Ukiwahurumia watu hawa, ukiwafurahisha na kusema nao maneno mazuri, hapo watakuwa watumishi wako daima.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wazee hao wakamjibu, “Ukiwahurumia watu hawa, ukiwafurahisha na kusema nao maneno mazuri, hapo watakuwa watumishi wako daima.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakajibu, “Kama leo utakuwa mtumishi wa watu hawa na kuwahudumia na kuwapa jibu linaloridhisha, watakuwa watumishi wako daima.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakajibu, “Kama leo utakuwa mtumishi wa watu hawa na kuwahudumia na kuwapa jibu linaloridhisha, watakuwa watumishi wako daima.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakamwambia, wakasema, Ukiwa mwema kwao watu hawa, na kuwapendeza, na kuwaambia maneno mazuri, hapo watakuwa watumishi wako siku zote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 10:7
4 Marejeleo ya Msalaba  

Naftali ni ayala aliyefunguliwa; Anatoa maneno mazuri.


Wakamwambia wakasema, Ukikubali kuwa mtumishi wa watu hawa leo, na kuwatumikia, na kuwajibu, na kuwapa maneno mazuri, basi watakuwa watumishi wako daima.


Jawabu la upole hugeuza hasira; Bali neno liumizalo huchochea ghadhabu.