Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 10:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akawaambia, Mnirudie baada ya siku tatu. Watu wakaenda zao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Rehoboamu akawajibu, “Rudini kwangu baada ya siku tatu.” Basi wakaondoka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Rehoboamu akawajibu, “Rudini kwangu baada ya siku tatu.” Basi wakaondoka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Rehoboamu akawajibu, “Rudini kwangu baada ya siku tatu.” Basi wakaondoka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Rehoboamu akajibu, “Nendeni kwa muda wa siku tatu na kisha mnirudie.” Basi watu wakaenda zao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Rehoboamu akajibu, “Nendeni kwa muda wa siku tatu na kisha mnirudie.” Basi watu wakaenda zao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaambia, Mnirudie baada ya siku tatu. Watu wakaenda zao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 10:5
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Nendeni zenu hata siku ya tatu, kisha mnirudie tena. Watu wakaenda zao.


Baba yako alilifanya zito kongwa letu; basi sasa upunguze utumwa mgumu wa baba yako, na kongwa lake zito alilotutwika, nasi tutakutumikia.


Mfalme Rehoboamu akataka shauri kwa wazee, waliosimama mbele ya Sulemani baba yake, alipokuwa hai bado, akasema, Mnanipa shauri gani la kuwajibu watu hawa?


Usimwambie jirani yako, Nenda, urudi halafu, na kesho nitakupa; Nawe unacho kitu kile karibu nawe.