Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 10:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hivyo Israeli wakaasi juu ya nyumba ya Daudi, hata leo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo, watu wa Israeli wamekuwa katika hali ya maasi dhidi ya utawala wa ukoo wa Daudi mpaka leo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo, watu wa Israeli wamekuwa katika hali ya maasi dhidi ya utawala wa ukoo wa Daudi mpaka leo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo, watu wa Israeli wamekuwa katika hali ya maasi dhidi ya utawala wa ukoo wa Daudi mpaka leo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo, Israeli wakaasi dhidi ya nyumba ya Daudi hadi leo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo Israeli wakaasi dhidi ya nyumba ya Daudi hadi leo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hivyo Israeli wakaasi juu ya nyumba ya Daudi, hata leo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 10:19
10 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Israeli wote walipoona ya kuwa mfalme hawasikilizi, watu wakamjibu mfalme, wakasema, Tuna sehemu gani katika Daudi? Wala hatuna urithi katika mwana wa Yese; kila mtu aende zake hemani, enyi Israeli, sasa itunze nyumba yako mwenyewe ewe Daudi. Basi wakaenda zao Israeli wote hemani kwao.


Na ile miti ilikuwa mirefu, hata ncha za miti zilionekana sandukuni mbele ya chumba cha ndani, lakini hazikuonekana nje; nayo iko kuko huko hata leo.


Tangu siku za baba zetu tumekuwa na hatia kupita kiasi hadi leo; na kwa sababu ya maovu yetu sisi, na wafalme wetu, na makuhani wetu, tumetiwa katika mikono ya wafalme wa nchi hizi, tumepigwa kwa upanga, tumechukuliwa mateka, tumenyang'anywa mali zetu, tumetiwa haya nyuso zetu, kama hivi leo.


Wanawe wakiiacha sheria yangu, Wasiende katika hukumu zangu,


Na wewe mwanadamu, twaa kijiti kimoja; ukaandike juu yake, Kwa Yuda, na kwa wana wa Israeli wenzake; kisha, twaa kijiti cha pili; ukaandike juu yake, Kwa Yusufu, kijiti cha Efraimu, na kwa nyumba yote ya Israeli wenzake;


Nao wakawafikia hao wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, na hiyo nusu ya kabila la Manase, katika nchi ya Gileadi, na wakasema nao, wakinena,


Kisha Yoshua akapanga mawe kumi na mawili katikati ya Yordani, mahali pale miguu ya hao makuhani waliolichukua hilo sanduku la Agano iliposimama; nayo yapo pale pale hata hivi leo.