Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 1:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Usiku ule Mungu akamtokea Sulemani, akamwambia, Omba utakalo nikupe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usiku huo, Mungu alimtokea Solomoni, akamwambia, “Omba chochote, nami nitakupa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usiku huo, Mungu alimtokea Solomoni, akamwambia, “Omba chochote, nami nitakupa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usiku huo, Mungu alimtokea Solomoni, akamwambia, “Omba chochote, nami nitakupa.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usiku ule Mungu akamtokea Sulemani na kumwambia, “Omba lolote utakalo nikupe.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usiku ule Mungu akamtokea Sulemani na kumwambia, “Omba lolote utakalo nikupe.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usiku ule Mungu akamtokea Sulemani, akamwambia, Omba utakalo nikupe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 1:7
8 Marejeleo ya Msalaba  

basi, BWANA akamtokea Sulemani mara ya pili kama alivyomtokea huko Gibeoni.


Yesu akamjibu, akamwambia, Wataka nikufanyie nini? Yule kipofu akamwambia, Mwalimu wangu, nataka nipate kuona.


Tena siku ile hamtaniuliza neno lolote. Amin, amin, nawaambia, Mkimwomba Baba neno lolote atawapa kwa jina langu.