Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Mambo ya Nyakati 1:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nao farasi, aliokuwa nao Sulemani wakaletwa toka Misri; wakapewa wafanya biashara wake mfalme kwa makundi; kila kundi na thamani yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Farasi wa Solomoni walitoka Misri na Kilikia; wafanyabiashara wake waliwanunua huko.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Farasi wa Solomoni walitoka Misri na Kilikia; wafanyabiashara wake waliwanunua huko.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Farasi wa Solomoni walitoka Misri na Kilikia; wafanyabiashara wake waliwanunua huko.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Farasi wa Sulemani waliletwa kutoka Misri na kutoka Kue. Wafanyabiashara wa mfalme waliwanunua kutoka Kue.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Farasi wa Sulemani waliletwa kutoka Misri na kutoka Kue. Wafanyabiashara wa mfalme waliwanunua kutoka Kue.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao farasi, aliokuwa nao Sulemani wakaletwa toka Misri; wakapewa wafanya biashara wake mfalme kwa makundi; kila kundi na thamani yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Mambo ya Nyakati 1:16
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nao walipandisha na kununua gari kutoka Misri kwa shekeli mia sita za fedha; na farasi kwa mia moja na hamsini, vivyo hivyo wakawauzia wafalme wote Wahiti na wafalme wa Shamu.


Wakamletea Sulemani farasi kutoka Misri, na kutoka nchi zote.


Mpenzi wangu, nimekulinganisha Na farasi katika magari ya Farao.


Ila asifanye farasi wake kuwa wengi, wala asiwarudishe watu Misri, ili apate kufanya farasi kuwa wengi; kwa kuwa BWANA amewaambia, Tangu sasa msirudie tena njia ile.