Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Yohana 5:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kila lisilo la haki ni dhambi, na dhambi iko isiyo ya mauti.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kila tendo lisilo adilifu ni dhambi, lakini kuna dhambi isiyompeleka mtu kwenye kifo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kila tendo lisilo adilifu ni dhambi, lakini kuna dhambi isiyompeleka mtu kwenye kifo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kila tendo lisilo adilifu ni dhambi, lakini kuna dhambi isiyompeleka mtu kwenye kifo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Jambo lolote lisilo la haki ni dhambi, lakini iko dhambi isiyo ya mauti.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Jambo lolote lisilo la haki ni dhambi, lakini iko dhambi isiyo ya mauti.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kila lisilo la haki ni dhambi, na dhambi iko isiyo ya mauti.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Yohana 5:17
10 Marejeleo ya Msalaba  

Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama damu, zitakuwa kama sufu.


Neno lolote ninalowaagiza lizingatieni, usilizidishe, wala usilipunguze.


Tunzeni basi, mtende kama mlivyoamriwa na BWANA, Mungu wenu; msikengeuke kwa mkono wa kulia wala wa kushoto.


Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti.


Watoto wangu wadogo, nawaandikia haya ili kwamba msitende dhambi. Na kama mtu akitenda dhambi tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki,


Kila atendaye dhambi, afanya uasi; kwa kuwa dhambi ni uasi.


Mtu akimwona ndugu yake anatenda dhambi isiyo ya mauti, ataomba, na Mungu atampa uzima kwa ajili ya hao watendao dhambi isiyo ya mauti. Iko dhambi iliyo ya mauti. Sisemi ya kwamba ataomba kwa ajili ya hiyo.