Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Yohana 4:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Sisi tunapenda kwa maana yeye alitupenda sisi kwanza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sisi tuna upendo kwa sababu Mungu alitupenda kwanza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sisi tuna upendo kwa sababu Mungu alitupenda kwanza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sisi tuna upendo kwa sababu Mungu alitupenda kwanza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Twampenda yeye kwa sababu yeye alitupenda kwanza.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Twampenda yeye kwa sababu yeye alitupenda kwanza.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sisi tunapenda kwa maana yeye alitupenda sisi kwanza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Yohana 4:19
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa ajili ya hayo nakuambia, Amesamehewa dhambi zake ambazo ni nyingi, kwa kuwa amependa sana; lakini asamehewaye kidogo, huyo hupenda kidogo.


Si ninyi mlionichagua mimi, bali ni mimi niliyewachagua ninyi; nami nikawaweka mwende mkazae matunda; na matunda yenu yapate kukaa; ili kwamba lolote mmwombalo Baba kwa jina langu awapeni.


Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.


Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,


Hili ndilo pendo, si kwamba sisi tulimpenda Mungu, bali kwamba yeye alitupenda sisi, akamtuma Mwanawe kuwa kipatanisho kwa dhambi zetu.


Mtu akisema, Nampenda Mungu, naye anamchukia ndugu yake, ni mwongo; kwa maana asiyempenda ndugu yake ambaye amemwona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hakumwona.