Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Yohana 3:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Watoto wadogo, tusipende kwa neno, wala kwa ulimi, bali kwa tendo na kweli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watoto wangu, upendo wetu usiwe maneno matupu, bali uwe upendo wa kweli na wa vitendo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watoto wangu, upendo wetu usiwe maneno matupu, bali uwe upendo wa kweli na wa vitendo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watoto wangu, upendo wetu usiwe maneno matupu, bali uwe upendo wa kweli na wa vitendo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watoto wapendwa, tusipende kwa maneno au kwa ulimi bali kwa tendo na kweli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watoto wapendwa, tusipende kwa maneno au kwa ulimi bali kwa tendo na kweli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watoto wadogo, tusipende kwa neno, wala kwa ulimi, bali kwa tendo na kweli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Yohana 3:18
18 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akasema, Tazama, hapa pana mahali karibu nami, nawe utasimama juu ya mwamba;


Nao huja kwako kama watu wajavyo, nao hukaa mbele yako kama watu wangu, nao husikia maneno yako, wasiyatende; maana kwa vinywa vyao hujifanya kuwa wenye upendo mwingi, lakini mioyo yao inatafuta faida yao.


maana, analipenda taifa letu, naye alitujengea sinagogi.


Na kwa ajili yao najiweka wakfu mwenyewe, ili na hao watakaswe katika kweli.


Pendo na lisiwe na unafiki lichukieni lililo ovu, mkilishika lililo jema.


Maana ninyi, ndugu, mliitwa mpate uhuru; lakini uhuru wenu usiwe sababu ya kuufuata mwili, bali tumikianeni kwa upendo.


Lakini tuishike kweli katika upendo na kukua hata tumfikie yeye katika yote, yeye aliye kichwa, Kristo.


Wala hatuachi kuikumbuka kazi yenu ya imani, na taabu yenu ya upendo, na subira yenu ya tumaini lililo katika Bwana wetu Yesu Kristo, mbele za Mungu Baba yetu.


Mkiisha kujitakasa roho zenu kwa kuitii kweli, hata kuufikia upendano wa ndugu usio na unafiki, basi jitahidini kupendana kwa moyo safi.


Watoto wangu wadogo, nawaandikia haya ili kwamba msitende dhambi. Na kama mtu akitenda dhambi tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki,


Watoto wadogo, mtu na asiwadanganye; atendaye haki ana haki, kama yeye alivyo na haki;


Mzee, kwa mama mteule na watoto wake niwapendao katika kweli; wala si mimi peke yangu, bali na wote waijuayo ile kweli;


Mzee, kwa Gayo mpenzi, nimpendaye katika kweli.