Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 9:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Ninanena hayo kwa kibinadamu? Au torati nayo haisemi yayo hayo?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, nasema mambo haya kibinadamu tu? Je, sheria nayo haisemi hivyo?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, nasema mambo haya kibinadamu tu? Je, sheria nayo haisemi hivyo?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, nasema mambo haya kibinadamu tu? Je, sheria nayo haisemi hivyo?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, nasema mambo haya katika mtazamo wa kibinadamu tu? Je, Torati haisemi vivyo hivyo?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, nasema mambo haya katika mtazamo wa kibinadamu tu? Je, Torati haisemi vivyo hivyo?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Ninanena hayo kwa kibinadamu? Au torati nayo haisemi yayo hayo?

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 9:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi kulingana na neno hili, bila shaka kwa hao hakuna asubuhi.


Basi, je! Twaibatilisha sheria kwa imani hiyo? La hasha! Kinyume cha hayo twaithibitisha sheria.


Lakini, ikiwa udhalimu wetu waithibitisha haki ya Mungu, tuseme nini? Je! Mungu ni dhalimu aletaye ghadhabu? (Nasema kwa jinsi ya kibinadamu.)


Nasema kwa jinsi ya kibinadamu kwa sababu ya udhaifu wa miili yenu. Kwa kuwa kama mlivyovitoa viungo vyenu vitumiwe na uchafu na uasi mpate kuasi, vivyo hivyo sasa vitoeni viungo vyenu vitumiwe na haki mpate kutakaswa.


Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.


Lakini heri yeye zaidi akikaa kama alivyo; ndivyo nionavyo mimi, nami nadhani ya kuwa mimi nami nina Roho wa Mungu.


Kwa maana, ndugu zangu, Injili hiyo niliyowahubiria, nawajulisha ya kuwa siyo ya namna ya kibinadamu.


Kwa sababu hiyo sisi nasi tunamshukuru Mungu bila kukoma, kwa kuwa, mlipopata lile neno la ujumbe wa Mungu mlilolisikia kwetu, mlilipokea si kama neno la wanadamu, bali kama neno la Mungu; na kwa kweli ndivyo lilivyo; litendalo kazi pia ndani yenu ninyi mnaoamini.


Basi yeye anayekataa, hakatai mwanadamu bali Mungu, anayewapa ninyi Roho wake Mtakatifu.