Je! Wamwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.
1 Wakorintho 8:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Mtu akidhani ya kuwa anajua neno, hajui neno lolote bado, kama impasavyo kujua. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Anayefikiri kwamba anajua kitu, kwa kweli hajui chochote kama inavyompasa. Biblia Habari Njema - BHND Anayefikiri kwamba anajua kitu, kwa kweli hajui chochote kama inavyompasa. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Anayefikiri kwamba anajua kitu, kwa kweli hajui chochote kama inavyompasa. Neno: Bibilia Takatifu Mtu yeyote anayedhani kwamba anajua kitu, bado hajui kama impasavyo kujua. Neno: Maandiko Matakatifu Mtu yeyote anayedhani kwamba anajua kitu, bado hajui kama impasavyo kujua. BIBLIA KISWAHILI Mtu akidhani ya kuwa anajua neno, hajui neno lolote bado, kama impasavyo kujua. |
Je! Wamwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.
Kwa maana, ndugu zangu, sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa Mataifa uwasili.
Maana sasa tunaona kwa kioo kwa jinsi ya fumbo; wakati ule tutaona uso kwa uso; sasa nafahamu kwa sehemu; wakati ule nitajua sana kama mimi nami ninavyojuliwa sana.
Mtu asijidanganye mwenyewe; kama mtu akijiona kuwa mwenye hekima miongoni mwenu katika dunia hii, na awe mpumbavu, ili apate kuwa mwenye hekima.