Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 8:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mtu akidhani ya kuwa anajua neno, hajui neno lolote bado, kama impasavyo kujua.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Anayefikiri kwamba anajua kitu, kwa kweli hajui chochote kama inavyompasa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Anayefikiri kwamba anajua kitu, kwa kweli hajui chochote kama inavyompasa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Anayefikiri kwamba anajua kitu, kwa kweli hajui chochote kama inavyompasa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu yeyote anayedhani kwamba anajua kitu, bado hajui kama impasavyo kujua.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu yeyote anayedhani kwamba anajua kitu, bado hajui kama impasavyo kujua.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu akidhani ya kuwa anajua neno, hajui neno lolote bado, kama impasavyo kujua.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 8:2
9 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Wamwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.


Kwa maana, ndugu zangu, sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa Mataifa uwasili.


Maana sasa tunaona kwa kioo kwa jinsi ya fumbo; wakati ule tutaona uso kwa uso; sasa nafahamu kwa sehemu; wakati ule nitajua sana kama mimi nami ninavyojuliwa sana.


Mtu asijidanganye mwenyewe; kama mtu akijiona kuwa mwenye hekima miongoni mwenu katika dunia hii, na awe mpumbavu, ili apate kuwa mwenye hekima.


Maana mtu akijiona kuwa ni kitu, naye si kitu, ajidanganya nafsi yake.