Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 7:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini nasema hayo, kwa kutoa idhini yangu, si kwa amri.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ninayowaambieni sasa ni mawaidha, si amri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ninayowaambieni sasa ni mawaidha, si amri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ninayowaambieni sasa ni mawaidha, si amri.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nasema haya kama ushauri na si amri.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nasema haya kama ushauri na si amri.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini nasema hayo, kwa kutoa idhini yangu, si kwa amri.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 7:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe;


Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.


Kuhusu wanawali sina amri ya Bwana, lakini natoa shauri langu, mimi niliyejaliwa kwa rehema za Bwana kuwa mwaminifu.


Lakini heri yeye zaidi akikaa kama alivyo; ndivyo nionavyo mimi, nami nadhani ya kuwa mimi nami nina Roho wa Mungu.


Ninenalo silineni agizo la Bwana, bali kama kwa upumbavu, katika ujasiri huu wa kujisifu.


Sineni ili kuwaamuru, bali kwa bidii ya watu wengine nijaribu unyofu wa upendo wenu.