Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 7:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi, naona hili kuwa jema, kwa ajili ya shida iliyopo, kwamba ni vema mtu akae kama alivyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, kutokana na shida iliyopo sasa nadhani ingefaa mtu abaki kama alivyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, kutokana na shida iliyopo sasa nadhani ingefaa mtu abaki kama alivyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, kutokana na shida iliyopo sasa nadhani ingefaa mtu abaki kama alivyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa sababu ya shida iliyopo sasa, naona ni vyema mkibaki kama mlivyo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa sababu ya shida iliyoko kwa sasa, naona ni vyema mkibaki kama mlivyo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, naona hili kuwa jema, kwa ajili ya shida iliyopo, kwamba ni vema mtu akae kama alivyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 7:26
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ole wao wenye mimba na wanyonyeshao siku hizo!


Ole wao wenye mimba na wanaonyonyesha katika siku hizo! Kwa kuwa kutakuwa na shida nyingi katika nchi, na hasira juu ya taifa hili.


Basi kuhusu mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke.


Je! Umefungwa kwa mke? Usitake kufunguliwa. Umefunguliwa? Usitafute mke.


Lakini, kama ukioa, huna hatia; wala mwanamwali akiolewa, hana hatia; lakini watu kama hao watakuwa na dhiki katika mwili nami nataka kuwazuilia hayo.


Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo.


kwamba msifadhaishwe upesi hata kuiacha nia yenu, wala msishtushwe, kwa roho, wala kwa neno, wala kwa barua inayodhaniwa kuwa ni yetu, kana kwamba siku ya Bwana imekwisha kuwapo.


Kwa maana wakati umefika wa hukumu kuanza katika nyumba ya Mungu; na ikianza kwetu sisi, mwisho wao wasioitii Injili ya Mungu utakuwaje?