Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 7:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi kuhusu mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yahusu sasa mambo yale mliyoandika: Naam, ni vizuri kama mtu haoi;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yahusu sasa mambo yale mliyoandika: Naam, ni vizuri kama mtu haoi;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yahusu sasa mambo yale mliyoandika: naam, ni vizuri kama mtu haoi;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi kuhusu mambo yale mliyoyaandika: “Ni vyema mwanaume asimguse mwanamke.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi kuhusu mambo yale mliyoyaandika: Ni vyema mwanaume asimguse mwanamke.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi kuhusu mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 7:1
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akamwambia katika ndoto, Nami nimejua ya kwamba kwa ukamilifu wa moyo wako umefanya hivi, ndipo nami nikakuzuia usinitendee dhambi, kwa hiyo sikukuacha umguse.


Ndivyo alivyo aingiaye kwa mke wa jirani yake; Kila mtu amgusaye huyo atakuwa na hatia.


Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.


Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo.


Macho yako na yaelekee shamba walivunalo, ufuatane nao; je! Sikuwaagiza vijana wasikusumbue? Tena, ukiona kiu, uende kwenye vyombo, nawe uyanywe waliyoyateka hao vijana.