Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 6:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Bali mwashitakiana, ndugu kwa ndugu, tena mbele yao wasioamini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Badala yake, kweli imekuwa mtindo ndugu kumpeleka ndugu yake mahakamani, tena mbele ya mahakimu wasioamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Badala yake, kweli imekuwa mtindo ndugu kumpeleka ndugu yake mahakamani, tena mbele ya mahakimu wasioamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Badala yake, kweli imekuwa mtindo ndugu kumpeleka ndugu yake mahakamani, tena mbele ya mahakimu wasioamini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Badala yake ndugu mmoja anampeleka mwenzake mahakamani, tena mbele ya watu wasioamini!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Badala yake ndugu mmoja anampeleka mwenzake mahakamani, tena mbele ya watu wasioamini!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bali mwashitakiana, ndugu kwa ndugu, tena mbele yao wasioamini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 6:6
13 Marejeleo ya Msalaba  

Akaagana na ndugu zake, wakaenda zao; naye akawaambia, Msigombane njiani.


Kesho yake akawatokea walipokuwa wakishindana, akataka kuwapatanisha, akisema, Enyi bwana zangu, ninyi ni ndugu. Mbona mnadhulumiana?


Je! Mmoja wenu akiwa ana shtaka juu ya mwenzake athubutuje kushitaki mbele ya wasio haki, wala si mbele ya watakatifu?


Basi imekuwa upungufu kwenu kabisa kwamba mnashitakiana ninyi kwa ninyi. Maana si afadhali kudhulumiwa? Maana si afadhali kunyang'anywa mali zenu?


Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?


Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini?


Lakini mtu yeyote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini.