Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 6:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana, kama mjuavyo, anayeungana na kahaba huwa mwili mmoja naye – kama ilivyoandikwa: “Nao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana, kama mjuavyo, anayeungana na kahaba huwa mwili mmoja naye – kama ilivyoandikwa: “Nao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana, kama mjuavyo, anayeungana na kahaba huwa mwili mmoja naye — kama ilivyoandikwa: “Nao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hamjui kwamba aliyeungwa na kahaba anakuwa mwili mmoja naye? Kwa kuwa imenenwa, “Hao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hamjui kwamba aliyeungwa na kahaba anakuwa mwili mmoja naye? Kwa kuwa imenenwa, “Hao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 6:16
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.


Nao wakasema, Je! Ni vema amtendee dada yetu kama kahaba?


Yuda alipomwona alimdhania kuwa ni kahaba, maana amejifunika uso.


Ikawa baada ya miezi mitatu Yuda akapewa habari kwamba, Mke wa mwana wako, Tamari, amefanya uzinifu, naye ana mimba ya haramu. Yuda akasema, Mtoeni ateketezwe.


na hao wawili watakuwa mwili mmoja; hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja.


Hamjui ya kuwa mtawahukumu malaika, basi si zaidi sana mambo ya maisha haya?


Kwa sababu hiyo mtu atamwacha baba yake na mama yake, ataambatana na mkewe na hao wawili watakuwa mwili mmoja.


Kwa imani Rahabu, yule kahaba, hakuangamia pamoja na hao walioasi; kwa kuwa aliwakaribisha wale wapelelezi kwa amani.


Samsoni akaenda Gaza, akaona huko mwanamke kahaba, akaingia kwake.