Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 5:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Niliwaandikia katika barua yangu, kwamba msichangamane na wazinzi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Niliwaandikia katika barua yangu msishirikiane na wazinzi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Niliwaandikia katika barua yangu msishirikiane na wazinzi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Niliwaandikia katika barua yangu msishirikiane na wazinzi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Niliwaandikia katika waraka wangu kuwa msishirikiane na wazinzi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Niliwaandikia katika waraka wangu kuwa msishirikiane na wazinzi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Niliwaandikia katika barua yangu, kwamba msichangamane na wazinzi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 5:9
10 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi wajinga, acheni ujinga, mkaishi, Mkaende katika njia ya ufahamu.


Sisemi msichangamane kabisa na wazinzi wa dunia hii, au na wenye kutamani, au na wanyang'anyi, au na wenye kuabudu sanamu; maana hapo ingewalazimu kutoka katika dunia.


Nanyi mwajivuna, wala hamkusikitika, ili kwamba aondolewe miongoni mwenu huyo aliyetenda jambo hilo.


Basi, jisafisheni, mkatoe ile chachu ya kale, mpate kuwa donge jipya, kama vile mlivyo hamkutiwa chachu. Kwa maana Pasaka wetu amekwisha kutolewa kuwa sadaka, yaani, Kristo;


Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?


Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.


Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;


Na ikiwa mtu awaye yote halishiki neno letu la barua hii, jihadharini na mtu huyo, wala msizungumze naye, apate kutahayari;


Ndugu, tunawaagiza katika jina la Bwana Yesu Kristo, jitengeni nafsi zenu kutoka kwa kila ndugu aendaye bila utaratibu, wala si kwa kufuata mapokeo mliyoyapokea kwetu.